• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

UFUGAJI WA SAMAKI

Wilaya ya Ludewa pamoja na kuwepo kwa Ziwa Nyasa katika moja ya Tarafa zake zinazounda Wilaya hiyo, Tarafa ya Mwambao, ina mazingira rafiki kwa ufugaji wa samaki katika mabwawa. Shughuli hii inaweza kufanyika katika Tarafa zilizopo mbali kidogo na ukanda wa Ziwani, mathalani Tarafa ya Mawengi, Tarafa ya Liganga, Tarafa ya Mlangali na kwa kiasi Tarafa ya Masasi, kupitia Vikundi vya wajasiliamali, watu binafsi, taasisi au hata Serikali za vijiji. Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa wapo wadau wa ufugaji samaki ambao umevutia watu wengi pia kuingia kwenye shughuli ya kiuchumi ya namna hii. Mmoja wa wadau wa ufugaji wa Samaki ni Bwana Longinus Longinus Mgani anayepatikana katika Tarafa ya Liganga, Kata ya Lugarawa, Kijiji cha Mdilidili, Kitongoji cha Lusapo. Bwana Longinus Longinus Mgani ni Mzaliwa wa Wilaya ya Ludewa; yeye ni msomi katika ngazi ya Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ya mwaka 2015 hadi 2018. Amepata Elimu ya Msingi katika Shule ya Msingi Matika, kati ya Mwaka, 2002 hadi 2008. Aliendelea na masomo ya Sekondari kidato cha kwanza hadi cha sita katika Seminari ya Mtakatifu Joseph Kilocha kati ya mwaka 2009-2012 na 2013-2015. Kutokana na Maarifa na Taaluma yake hiyo, amechaguliwa na Wananchi kuwaongoza akiwa kama Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watumia maji, JUMALU (Water User Association Lugarawa Drainage Area ). Kwa sasa anajishughulisha na mradi wa ufugaji samaki katika mabwawa (Fish farm project) katika Kata ya Lugarawa, Kijiji cha Mdilidili, Kitongoji cha Lusapo akiwa na mabwawa takribani kumi na tatu. Kwa sasa yupo katika hatua za awali za samaki wadogo wadogo. Ni matumaini kwamba ataendeleza maarifa haya na kwa vijana wengine kupata ujuzi huu wa ufugaji samaki. 

HABARI PICHA:

Picha mbalimbali za mabwawa ya Samaki anaofuga Bwana Longinus Mgani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • SEMINA YA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA MAAFISA WAANDIKISHAJI NGAZI YA KATI YAFANYIKA HALMASHAURI YA WILAYA LUDEWA

    January 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.